Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT) linatarajia kuanzisha Kikosi kazi cha ujenzi wa barabara za lami , Ambacho kitafanya kazi sehemu mbali mbali nchini.
Mkurugenzi Mtendaji wa SUMAJKT Kanali Petro Ngata A
amezungumza hayo tarehe 02 Agosti 2022, alipofanya ziara katika kanda ya ujenzi ya nyanda za juu kusini jijini Mbeya.
Comments
Post a Comment